Uhakiki wa kazi za fasihi andishi questions | form three Kiswahili
Find Uhakiki wa kazi za fasihi andishi examination questions, form three Kiswahili in acaproso.com
# | Question |
---|---|
1 | Kwa kutumia tamthiliya m bili (2) kati ya hizo zilizoorodheshwa, jadili jinsi kazi za wasanii hao zilivyochangia katika ujenzi wa jamii. Tamthiliya Long answers |
2 | “Matendo yasiyo na utu hujadiliwa na wasanii”. Thibitisha kauli hii kwa kutumia riwaya mbili (2) kati ya hizo zilizoorodheshwa. Riwaya Long answers |
3 | “Mwandishi wa fasihi ni mchunguzi wa jamii ambaye huyaweka wazi maovu mbalimbali”. Jadili Ushairi Long answers |
4 | “Mshairi ni mhakiki wa jamii”. Kwa kutumia vitabu teule v iwili (2) vya ushairi ulivyosoma, jadili kauli hii. Ushairi Long answers |
5 | “Jina la kitabu ni kivutio cha wasomaji wa riwaya”. Kwa kutumia riwaya teule m bili (2) ulizosoma linganisha majina ya vitabu jinsi yanavyosadifu yaliyomo. Riwaya Long answers |
6 | “Waandishi wengi huandika kazi zao kwa lengo la kutoa ujumbe katika jamii”. Kwa kutumia Tamthiliya Long answers |
7 | Linganisha na linganua miundo iliyotumiwa na waandishi wa shairi mbili (2) ulizosoma kati ya Ushairi Long answers |
8 | Lugha anayoitumia mwandishi katika kazi yake ya fasihi ndiyo inayosaidia katika kufikisha wazo lake kwa hadhira. Kwa kutumia riwaya teule mbili (2) ulizosoma, jadili jinsi wasanii wa riwaya hizo walivyotumia kipengee cha tamathali za semi. Riwaya Long answers |
9 | Jadili kufaulu na kutofaulu kimaudhui kwa waandishi wawili (2) wa tamthiliya teule ulizosoma. Tamthiliya Long answers |
10 | “Kiongozi katika jamii ni nahodha ambaye hutakiwa aongoze chombo kisiende mrama.” Kwa ORODHA YA VITABU Long answers |