Primary and secondary education past papers.
STANDARD 7-MATHEMATICS-2018-NATIONAL EXAM-TANZANIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI
04 HISABATI
Muda : Saa 2:00 Jumatano, 05 Septemba 2018 asubuhi
Maelekezo
- Karatasi hii ina sehemu A na B zenye jumla ya maswali arobaini na tano (45).
- Jibu maswali yote katika kila sehemu.
- Soma maelekezo yote yaliyoko katika fomu maalum ya kujibia (OMR).
- Jaza taarifa zote zinazohitajika katika fomu ya OMr na katika kurasa zenye swali la 41- 45 kwenye karatasi ya maswali.
- Weka kivuli katika kila tarakimu ya namba yako ya mtihani kwenye nafasi husika katika fomu ya OMR.
- Kokotoa na kisha Weka kivuli kwenye herufi ya jibu sahihi kwa swali la 1 -40 kwa mfano, kama jibu sahihi ni A weka kivuli kama ifuatavyo :
- Ukigundua kuwa herufi uliyoweka kivuli si jibu sahihi, futa kivuli hicho kwa umakini kwa kutumia kifutio safi kabla ya kuweka kivuli katika herufi mpya.
- Tumia penseli ya HB kwa swali la 1 hadi la 40; na kalamu ya wino wa bluu au mweusi kwa swali la 41 hadi la 45.
- Onesha wazi njia iliyotumika katika kujibu swali la 41 hadi la 45.
- Simu za mkononi , vikokotozi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi ndani ya chumba cha mthihani.
SEHEMU A : MATENDO YA KIHISABATI, MAUMBO NA MAFUMBO
Katika swali la 1- 10, kokotoa swali ulilopewa na kisha weka kivuli kwenye herufi ya jibu lililo sahihi katika fomu yako ya kujibia.
- 1,236÷4=
- 39
- 309
- 63
- 306
- 49
- Andika katika sehemu rahisi.
- 269+1,731=
- 1,800
- 1,900
- 1,990
- 1,999
- 2,000
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 1,509-728=
- 581
- 681
- 771
- 781
- 881
- 3
- 78x952=
- 74,256
- 70,756
- 74,246
- 74,156
- 73,856
- Ikiwa p=5 na Q=4, tafuta thamani ya
- 54
- 108
- 400
- 200
- 800
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-10-07: questionsQuestions Uploaded on 2024-10-07 |
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |