Interpretation and translation questions | form six English
(6626) Question Category: Short answers Translate the following text into English Language by using communicative translation. “Katika nchi nyingi Barani Afrika, wasichana bado hawapati haki ya elimu kwa njia moja au nyingine. Japo katika za nchi za Afrika na mikataba ya kimataifa inatambua umuhimu wa haki za wanawake, bado wengi wao hawapati elimu ya chuo kikuu. Hata hivyo, hao wachache wanaopata elimu ya chuo kikuu hawaajiriwi kwa urahisi. Hivyo, tunaziomba nchi za Afrika ziendeleze jitihada za kuondoa pengo la kijinsia katika elimu, ajira na uongozi hadi kufikia uwiano wa hamsini kwa hamsini. Tunaamin kuwa wanawake wakifanikiwa, familia, jamii na Afrika kwa ujumla itanufaika.” Alisema Spika wa Bunge , Mstaafu, Mheshimiwa Anna Makinda. Answer / Solution UNSOLVED |
View All Topics |
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |
2024-03-19: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-19 |