Maendeleo ya kiswahili questions | form five Kiswahili

(4807) Question Category: Short answers

Waingereza na Waarabu walidumaza maendeleo ya Kiswahili wakati wa ukoloni nchini
Tanzania. Thibitisha dai hilo kwa kutumia hoja nne kwa Waingereza na hoja nne kwa Waarabu.

Answer / Solution

UNSOLVED

(4808) Question Category: Short answers

Eleza kazi za BAKITA na UKUTA katika kukuza na kueneza Kiswahili. Toa hoja tatu za
BAKITA na hoja tatu za UKUTA.

Answer / Solution

UNSOLVED

(4816) Question Category: Short answers

Baada ya uhuru hadi leo, Tanzania imefanya juhudi mbalimbali zilizosaidia kuendeleza lugha ya
Kiswahili nchini kupitia mfumo wa elimu. Fafanua dai hilo kwa kutumia hoja tano.

Answer / Solution

UNSOLVED

(4817) Question Category: Insha

“Ili lahaja yoyote iweze kusanifishwa ni lazima ikidhi masharti ya kitaalamu.” Elezea masharti
matano ili kuthibitisha dai hilo.

Answer / Solution

UNSOLVED


View All Topics
News & Updates | Recently
Recent Updates
questions

2024-05-02: questions

Questions Uploaded on 2024-05-02


questions

2024-03-29: questions

Questions Uploaded on 2024-03-29


questions

2024-03-19: questions

Questions Uploaded on 2024-03-19

Dismissible in 10 seconds