Utumizi wa lugha questions | form five Kiswahili

(4804) Question Category: Short answers

Mtumiaji wa lugha ya Kiswahili ambaye ni mahiri wa lugha zingine, umahiri wake hukabiliwa na
changamoto mbalimbali. Kwa kutumia hoja nne na mifano, fafanua changamoto hizo.

Answer / Solution

UNSOLVED

(4813) Question Category: Short answers

“Kitenzi kikuu ni neno linalobebeshwa majukumu mengi katika tungo za Kiswahili.” Kwa
kutumia mifano, toa hoja tano kuthibitisha kauli hiyo.

Answer / Solution

UNSOLVED

(4814) Question Category: Short answers

“Matumizi ya rejesta huneemesha lugha ya Kiswahili.” Tumia hoja tano zenye mifano ili
kufafanua hoja hiyo.

Answer / Solution

UNSOLVED


View All Topics
News & Updates | Recently
Recent Updates
questions

2024-05-02: questions

Questions Uploaded on 2024-05-02


questions

2024-03-29: questions

Questions Uploaded on 2024-03-29


questions

2024-03-19: questions

Questions Uploaded on 2024-03-19

Dismissible in 10 seconds