Ufahamu questions | form four Kiswahili
(2596) Question Category: Ufahamu Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yatakayofuata: Swali: Andika muhtasari wa aya mbili (2) za mwisho za habari uliyoisoma kwa maneno yasiyozidi sitini Answer / Solution UNSOLVED |
(2597) Question Category: Ufahamu Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yatakayofuata: Maswali Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2598) Question Category: Ufahamu Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha andika ufupisho wa maneno sitini (60) kuhusu habari hiyo. Kwa miaka mingi baadhi ya mila na desturi zetu zimetufunga hadi kutufikisha mahali ambapo imekuwa ni vigumu kwetu kubaini ukweli kuhusu mambo muhimu yanayotuzunguka, yakiwa ni yale yanayohusu sisi na miili yetu na yale yaliyonje ya miili hii. Kwa mfamo hadi leo kuna watoto wa umri mkubwa kufikia miaka saba ambao hawajui majina ya baba au mama zao. Lakini pia kuna vijana wa umri wa kuvunja ungo au balehe ambao hawajui ni kwa vipi mtoto anapatikana hasa maeneo ya vijijini. Kuna watu wazima ambao hadi leo mjadala kuhusu kifo ukiingizwa kenye mazungumzo huwa hawako tayari kusikiliza wakiamini kuwa huo ni mwiko na uchoro mkubwa. Hali hii kwa sehemu kubwa inatokana na desturi na mila zetu ambazo zimepogoka na zinahitaji kutazamwa upya kama zina faida kwa jamii. Baadhi ya mambo ambayo yamekuwa yakichukuliwa kama mwiko mkubwa kuyajadili hadharani au hata kati ya watu zaidi ya mmoja ni yale yanayohusu mbegu za kiume, yai la mwanamke na upatikanaji wa mimba. Answer / Solution UNSOLVED |
(2599) Question Category: Ufahamu Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata: Tunaamini kwamba tunaweza kuendelea kuitumia miti yake na kuikata kwa ajili ya kupata mashamba na malisho ya wanyama wetu bila kujishughulisha kupanda au kuhifadhi mingine kwa ajili ya siku za mbele. Fikiria tulivyo na mawazo potofu. Fikira mbaya kama hizo wanazo watu wengi nchini mwetu. Kwa hiyo imenilazimu kuwaonesheni kuwa misitu ni lazima ilindwe na haitalindwa kwa manufaa ya kizazi chetu cha sasa tu, bali pia kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Maswali Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2600) Question Category: Ufahamu Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata: Tunaamini kwamba tunaweza kuendelea kuitumia miti yake na kuikata kwa ajili ya kupata mashamba na malisho ya wanyama wetu bila kujishughulisha kupanda au kuhifadhi mingine kwa ajili ya siku za mbele. Fikiria tulivyo na mawazo potofu. Fikira mbaya kama hizo wanazo watu wengi nchini mwetu. Kwa hiyo imenilazimu kuwaonesheni kuwa misitu ni lazima ilindwe na haitalindwa kwa manufaa ya kizazi chetu cha sasa tu, bali pia kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Swali: Fupisha aya tatu (3) za mwisho za habari uliyosoma kwa maneno themanini (80). Answer / Solution UNSOLVED |
View All Topics |
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |
2024-03-19: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-19 |