Ufahamu questions | form four Kiswahili
(2606) Question Category: Ufahamu Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata. Mbali na hayo, katiba hutoa utaratibu wa jinsi ya kuwapata viongozi wetu katika ngazi mabalimbali za kisiasa na kijamii. Pia uhuru wa mtu binafsi hulindwa na katiba. Hivyo, katika nchi ambayo ina katiba inayokidhi matarajio ya wananchi wote mambo huwa mazuri na kamwe chombo hakiwezi kwenda mrama . Maswali Answer / Solution UNSOLVED |
(2607) Question Category: Ufahamu Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata. Mbali na hayo, katiba hutoa utaratibu wa jinsi ya kuwapata viongozi wetu katika ngazi mabalimbali za kisiasa na kijamii. Pia uhuru wa mtu binafsi hulindwa na katiba. Hivyo, katika nchi ambayo ina katiba inayokidhi matarajio ya wananchi wote mambo huwa mazuri na kamwe chombo hakiwezi kwenda mrama .
Swali: Fupisha habari uliyosoma kwa maneno yasiyopungua mia moja (100). Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2608) Question Category: Ufahamu Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata:
Maswali Answer / Solution UNSOLVED |
(2609) Question Category: Ufahamu Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha fupisha habari hii kwa maneno hamsini (50). Answer / Solution UNSOLVED |
|
(4962) Question Category: Ufahamu Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata. Suala la kuwapenda na kuwajali watoto ni muhimu sana kaitka jamii. Leo hii suala la kuwaonesha watoto mapenzi limekuwa na jambo la ziada kwa watu na familia nyingi. Kuna mambo mengine mengi maishani mwetu ambayo watu wengi huyaona kuwa muhimu zaidi badala ya watoto. Kuna vitendo vingi vya ukatili ambavyo watoto hutendewa. Hivi majuzi kumekuwa na visa vya watoto wengi wachanga kutupwa majalalani. Viumbe hawa walipokatiziwa uhai, maiti zao zilitupwa kama takataka na hiyo ni miili ambayo ilipatikana jalalani. Lakini wengi wanajiuliza kuna maelfu mangapi ya miili mingine kama hiyo inayotupwa? Hili lilikuwa tone dogo la bahari ya dhambi ambazo sote tunaogelea ndani. Ni vema kila mtu kwa nafasi yake katika jamii, kuwaokoa watoto
Maswali Answer / Solution UNSOLVED |
View All Topics |
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |
2024-03-19: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-19 |