Uhakiki wa kazi za fasihi andishi questions | form three Kiswahili

(2610) Question Category: Long answers

Kwa kutumia tamthiliya m bili (2) kati ya hizo zilizoorodheshwa, jadili jinsi kazi za wasanii hao zilivyochangia katika ujenzi wa jamii.

Tamthiliya
Mfalme Juha ………………………. F. Topan (DUP)
Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe …………….. E. Semzaba (ESC)
Kilio Chetu ………………………. Medical Aid Foundation (TPH)

Answer / Solution

UNSOLVED

(2611) Question Category: Long answers

“Matendo yasiyo na utu hujadiliwa na wasanii”. Thibitisha kauli hii kwa kutumia riwaya mbili (2) kati ya hizo zilizoorodheshwa.

Riwaya
Kusadikika ………………………. S. Robert (E.P.)
Watoto wa Mama N’tilie ………………………. E. Mbogo (H.P.)
Kiu ya Haki ………………………. Z. Mwanga (R.P.)

Answer / Solution

UNSOLVED

(2612) Question Category: Long answers

“Mwandishi wa fasihi ni mchunguzi wa jamii ambaye huyaweka wazi maovu mbalimbali”. Jadili
jinsi kazi za washairi wawili kati ya hao walioorodheshwa zilivyosadifu kauli hii.

Ushairi
Diwani ya Mloka ………………………. C. Mloka (B.P.)
Malenga Wapya ………………………. TAKILUKI (DUP)
Mashairi ya Chekacheka ………………………. T.A. Mvungi (EP & DLTD)

Answer / Solution

UNSOLVED

(2613) Question Category: Long answers

“Mshairi ni mhakiki wa jamii”. Kwa kutumia vitabu teule v iwili (2) vya ushairi ulivyosoma, jadili kauli hii.

Ushairi
Diwani ya Mloka C. Mloka (B.P)
Malenga Wapya TAKILUKI (DUP)
Mashairi ya Chekacheka T. A. Mvungi (EP & DLTD)

Answer / Solution

UNSOLVED

(2614) Question Category: Long answers

“Jina la kitabu ni kivutio cha wasomaji wa riwaya”. Kwa kutumia riwaya teule m bili (2) ulizosoma linganisha majina ya vitabu jinsi yanavyosadifu yaliyomo.

Riwaya
Kusadikika S.Robert (E.P)
Watoto wa Mama N’tilie E.Mbogo (H.P)
Kiu ya Haki Z.Mwanga (R.P.)

Answer / Solution

UNSOLVED


View All Topics
News & Updates | Recently
Recent Updates
questions

2024-05-02: questions

Questions Uploaded on 2024-05-02


questions

2024-03-29: questions

Questions Uploaded on 2024-03-29


questions

2024-03-19: questions

Questions Uploaded on 2024-03-19

Dismissible in 10 seconds