Uhakiki wa kazi za fasihi andishi questions | form three Kiswahili
(2625) Question Category: Long answers “Washairi ni wataalamu wazuri na waliobobea katika kutumia taswira zinazotoa ujumbe kwa jamii.” Tumia taswira tatu kwa kila diwani kati ya diwani mbili zilizoorodheshwa kuthibitisha kauli hiyo. Ushairi Answer / Solution UNSOLVED |
(2626) Question Category: Long answers Tumia vitabu viwili vya riwaya kati ya vilivyoorodheshwa, kutoa hoja tatu kwa kila kitabu, Riwaya Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2627) Question Category: Long answers Tumia vitabu viwili vya tamthiliya kati ya vilivyoorodheshwa, kujadili madhara ya ukosefu wa Tamthiliya Answer / Solution UNSOLVED |
(2628) Question Category: Long answers “Mshairi siku zote hukemea uonevu katika jamii.” Thibitisha kauli hii kwa kutoa hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili ulizosoma. Ushairi Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2629) Question Category: Long answers “Fasihi ni chuo cha kufundisha maisha kwa jamii husika. “Jadili ukweli wa kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila riwaya kati ya riwaya mbili ulizosoma. Riwaya Answer / Solution UNSOLVED |
View All Topics |
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |
2024-03-19: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-19 |