Uhakiki wa kazi za fasihi andishi questions | form three Kiswahili
(2630) Question Category: Long answers Chagua wahusika watatu wa kike, kutoka katika kila tamthiliya kati ya tamthiliya mbili ulizosoma, kisha onesha kukubalika kwao kama kielelezo cha maisha katika jamii. Tamthiliya Answer / Solution UNSOLVED |
(2631) Question Category: Long answers “Ustadi wa msanii hudhihirishwa na fani”. Dhihirisha kauli hiyo kwa kutumia vipengele vitatu vya lugha kwa kila diwani kutoka katika diwani mbili ulizosoma. Ushairi
Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2632) Question Category: Long answers Jadili kukubalika kwa wahusika wawili kama kielelezo halisi cha wanajamii kati ya Takadini, Riwaya Answer / Solution UNSOLVED |
(2633) Question Category: Long answers “Kujenga jamii bora ni dhima ya mwandishi.” Thibitisha kauli hii kwa kutumia hoja tatu toka katika kila tamhtiliya kati ya tamthiliya mbili ulizosoma. Tamthiliya Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2634) Question Category: Long answers "Kazi za fasihi hufichua mivutano iliyopo katika jamii." Kwa kutumia hoja tatu kwa kila diwani Ushairi Answer / Solution UNSOLVED |
View All Topics |
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |
2024-03-19: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-19 |