Uhakiki wa kazi za fasihi andishi questions | form three Kiswahili
(2635) Question Category: Long answers "Mandhari iketeuliwa vizuri humsaidia mwandishi katika kufikisha yale aliyokusudia kwa jamii yake" Thibitisha hoja hiyo kwa kutoa mifano mitatu toka katika kila kitabu kati ya riwaya mbili zilizoorodheshwa. Riwaya Answer / Solution UNSOLVED |
(2636) Question Category: Long answers Kwa kutumia tamthiliya mbili miongoni mwa zilizoorodheshwa eleza jinsi waandishi walivyoonesha athari za utamaduni wa kigeni katika maadili ya jamii ya kiafrika. Tamthiliya Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2637) Question Category: Long answers “Mtunzi wa mashairi huibua malalamiko ya kundi la wasionacho.” Fafanua kauli hiyo kwa kutumia hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili ulizosoma. Ushairi Answer / Solution UNSOLVED |
(2638) Question Category: Long answers “Mapenzi ya dhati huleta faraja miongoni mwa wanajamii.” Tumia hoja tatu kutoka katika kila Riwaya Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2639) Question Category: Long answers Onesha kufaulu kwa dhamira za msanii kwa kutumia hoja tatu kutoka katika kila tamthiliya kati ya tamthiliya mbili ulizosoma. Tamthiliya Answer / Solution UNSOLVED |
View All Topics |
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |
2024-03-19: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-19 |