Uhakiki wa kazi za fasihi andishi questions | form three Kiswahili
(2620) Question Category: Long answers Jadili jinsi fani ilivyotumika kukamilisha kazi za waandishi wawili (2) wa riwaya ulizosoma, Riwaya Answer / Solution UNSOLVED |
(2621) Question Category: Long answers Waandishi wa tamthiliya wamemchora mwanamke katika sura tofauti. Thibitisha kauli hii kwa Tamthiliya Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2622) Question Category: Long answers “Maelekezo yanayotolewa na msanii wa fasihi hukidhi matarajio ya jamii yake.” Kwa kutoa hoja tatu (3) kwa kila mchairi, jadili kauli hii kwa kuwatumia washairi wawili (2) kati ya Ushairi Answer / Solution UNSOLVED |
(2623) Question Category: Long answers “Nyimbo ni mbinu ya kifani ambayo wasanii wengi huitumia ili kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa hadhira.” Thibitisha usemi huu kwa kutumia waandishi wawili (2) wa riwaya kati ya Riwaya Answer / Solution UNSOLVED |
|
(2624) Question Category: Long answers Jadili jinsi wasanii wawili (2) wa tamthiliya mbili (2) ulizosoma walivyotumia mbinu ya kicheko Tamthiliya Answer / Solution UNSOLVED |
View All Topics |
News & Updates | Recently
Recent Updates |
---|
2024-05-02: questionsQuestions Uploaded on 2024-05-02 |
2024-03-29: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-29 |
2024-03-19: questionsQuestions Uploaded on 2024-03-19 |